"FAHARASA"


A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

A

  • A'ad, 7:65-72; 11:50-60; 25:38; 26:123-140; 29:38; 41:15-16; 46:21-26; 51:41-42; 54:18-21; 69:4-8; 89:6-14;
  • Abu Lahab, 111:1-5
  • Adabu,

  •     asiudhiwe Mtume s.a.w. au Waumini wanaume au wanawake, 33:57-58;
        hakikisha ukweli wa khabari kabla hujaamini, 49:6;
        katika jamii, 49:11;
        katika mikutano, 58:11;
        katika nyumba za Mtume s.a.w., 33:53;
        kums'alia na kumsalimu Mtume s.a.w. 33:56;
        mbele ya Mtume s.a.w., 24:62-63; 49:1-5;
        ndani ya nyumba, 24:58-61;
        wakati wa kuingia majumbani, 24:27-29;
  • Adabu ya uasi, 96:15-18; 79:37-39;
  • Adam, kuumbwa kwake, 2:30-34;

  •        anashawishiwa na Shet'ani, 20:120-121;
           kuanguka kwake, 2:35-39; 7:19-25;
           wanawe Haabil na Qaabil, 5:27-31
  • Ah'mad au Muh'ammad s.a.w., utabiri wa kuja kwake, 61:6;
  • Ah'zaab, Makundi ya maadui, 33:9-20, 33:22-27;
  • Ajali, ya mtu ishingoni mwake, 17:13;

  • Akhera, binaadamu lazima akutane na Mwenyezi Mungu, 6:31,
       bora kuliko fedha na dhahabu, 43:33-35;
        bora kuliko haya ya leo, 93:4;
        ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, 6:40-41; 12:107;
        hapana wa kuwaombea walio ipuuza Akhera, 7:53;
       inakanywa na binaadamu, 50:12-14;
       majabari na wanyonge huko, 14:21;
       Manabii na walio fikishiwa Ujumbe watasailiwa, 7:6;
       Moto na Jahannam zitabaki milele ila apendavyo Mwenyezi Mungu, 11:107-108;
       Nyumba ya, (Darul aakhirah), 28:83; 29:64;
       Nyumba ya Amani, 6:127;
       si uwongo, 6:31;
       vitendo vitapimwa, 7:8-9;
       wakosefu hawatafanikiwa, 6:135;
       wakosefu wataomba muhula, 14:44-46;
  • Amana, yachukuliwa na binaadamu, 33:72-73;

  •     zirudishwe kwa wenyewe, 4:58; 8:27;
  • Amani, elekea kwenye, 8:61;
  • Ardhi, imeumbwa kwa viumbe vya Mwenyezi Mungu, 15:19-20; 26:7; 77:25-28;

  •     itageuzwa iwe nyengine, 14:48;
        tetemeko lake ni Ishara, 99:1-6
        ya kumtumikia mwanaadamu, 67:15;
        ya Mwenyezi Mungu ina wasaa, 29:56;
  • As'habul Hijri, 15:80-85;
  • As'habur Rass, 25:38; 50:12;
  • Atakavyo mwanaadamu, 24:62;
  • Atakavyo Mwenyezi Mungu, 10:99-100; 30:5; 81:29; 82:7;
  • Ayubu a.s., 6:84; 21:83-84; 38:44


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    B

  • Badri (Vita vya), mafunzo yake, 8:5-19, 8:42-48;
  • Bakka (Makka), 3:96
  • Banu Nadhiir, Mayahudi, 59:2, 59:7, 59:11;
  • Barugumu, Siku ya Qiyama, 6:73; 23:101; 39:68; 69:13;
  • Barzakh, 23:100; 25:53; 55:20;
  • Biashara, 4:29;
  • Biashara isiyo bwaga, 35:29;
  • Bishara njema kwa watu, 2:25; 5:19; 16:89; 48:8; n.k. 


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    C

  • Chakula, cha halali na haramu, 2:168, 2:172-173; 5:1, 5:3-5, 5:87-88; 6:118-119, ; 6:121, ; 6:145-146; 16:114-118;

  •     si muhimu kama kutenda mema, 5:93 
    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    D

  • Dahari, 76:1;
  • Daudi, 6:84; 21:78-80; 34:10-11; 38:17-26; anapigana na Jaluti, 2:251;
  • Deni zuri, 2:245; 57:11, 18; 64:17; 73:20;
  • Dhambi, 4:30-32, 4:36-39, 4:107-112, 4:116; 7:100-102; 10:54; 74:43-48;

  •     hazifanikiwi, 10:17;
        Mwenyezi Mungu anasamehe dhambi zote, 39:53;
        na Imani zina malengo mbali mbali, 68:35-41;
        watendao dhambi watatengwa, 6:45;
        zaleta maangamizo, 7:4-5; 77:16-19;
        ziepukwe, 6:120;
  • Dhannun, 21:87-88; 68:48-50;
  • Dhikr, Kumkumbuka Mwenyezi Mungu, 5:91; 13:28; 21:36, 21:42; 24:37; 29:45; 38:32; 39:22-23; 43:36; 57:16; 58:19; 62:9; 63:9; 72:17;
  • Dhulkifli 21:85; 38:48;
  • Dhulqarnain, 18:83-98;
  • Dini, haina kulazimisha, 2:256;

  •     haina uzito, 22:78;
        hapana kupita kiasi katika, 4:171; 5:77-81;
        imekamilika, 5:3;
        moja kwa Manabii wote, 42:13-14;
        msiigawe kwa madhehebu, 6:159; 30:32;
        si mchezo wala pumbao, 6:70;
        ya Kiislamu, 3:10-20, 3:83-84;
        ya maumbile ya Mwenyezi Mungu, 30:30;
        ya ulimwengu wote, 13:19-22;
        ya wazee, 43:22-24;
  • Dunia, hii ni pumbao, 6:32; 29:64; 47:36; 57:20;

  •     ina malipwa yake, lakini si Akhera, 11:15-17; 17:18; 42:20;
        inawaghuri watu, 6:130;
        isikhitariwe, 9:38-39; 13:26; 28:60-61;
        watu wanaipenda, 75:20-21; 76:27 
    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    E

  • Eda, 2:228, 2:231-235; 33:49; 65:4, 65:6-7;
  • Fidia hawaipati wenye madhambi, 3:91; 10:54; 13:18


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    F

  • Firauni, anamkanya Mwenyezi Mungu, 28:38; 79:24;

  •     dhambi na uasi, 69:9; 73:16; 85:17-20; 89:10-14;
        jeuri kwa Wana wa Israili, 44:17-33;
        kazama, 2:50;
        mkewe mtu mwema, 66:11;
        mtu katika qaumu yake akasilimu, 40:28-44;
        muamala wake na Nabii Musa a.s. 7:103-137; 10:75-92;
       (Tazama: Musa); mwili wake ukaokolewa kutoka baharini, 10:90-92;
        ukatili wake, 2:49;
        watu wake, 54:41-42;
  • Fitina, zinazo chochezwa na Shet'ani, 41:36;
  • Funguo za mbingu na ardhi, 39:63; 42:12;
  • Furqan, Kipambanuo, 2:53; 8:29; 21:48-50; 25:1


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    H

  • H'unain, 9:25-26;
  • Haaman, 28:6, 28:38; 29:39; 40:36-37;
  • Haarut, 2:102;
  • Hadhari katika khatari, 4:71;
  • Harun, 6:84; 20:29-36; 20:90-94.
  • Hija, 2:158, 2:196-203; 3:97; 5:2; 22:26-33;
  • Huud, 7:65-72; 11:50-60; 26:123-140; 46:21-26


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    I

  • I'mran, ukoo wa, 3:35;
  • I'sa (Yesu) a.s., alitabiri atakuja Ah'mad s.a.w., 61:6;

  •     anaomba Meza ya vyakula, 5:114;
        hakufunza ibada potovu, 5:116-118;
        hakusulubiwa, 4:157; kapewa Injili, 5:46;
        kunyanyuliwa, 3:55-58; 4:157-159;
        kuwa ni Ishara, 23:50; 43:61;
         kuzaliwa kwake, 3:45-47; 19:22-33;
        mfano wa Adam, 3:59;
        Mtume kwa Waisraili, 3:49-51;
        Nabii mwema, 6:85;
        si Mungu; 5:17, 5:75;
        si mwana wa Mungu, 9:30;
        si zaidi kuliko Mtume, 4:171; 5:75; 43:59; 63:64;
        Ujumbe na miujiza, 5:110; 19:30-33;
        ujumbe wake una mipaka yake, 13:38;
        wafwasi wake wana huruma na rehema, 57:27;
        wanafunzi, 3:52-53; 5:111-115;
        wanafunzi wake kuwa ni Wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
        wanafunzi wake wanajitangaza kuwa ni Waislamu, 5:111;
  • Ibada, ya kweli na kutoa, 11:123; 107:2-7;
  • Iblis, 2:34; 7:11-18; 15:31-44; 17:61-65; 18:50; 20:116-123; 38:71-85;
  • Ibrahim a.s., anakataa kuabudu mwezi, jua na nyota, 6:75-79

  •     anamjadili baba yake aache ushirikina, 6:74; 19:41-50;
        anamtoa mhanga mwanawe, 37:99-111;
        anamwombea baba yake, 9:113-114; 25:86;
        anawajadili wasio amini, 2:258;
        anawajadili watu wake wayaache masanamu, 21:51-71; 26:70-82; 29:16-18, 29:24-25; 37:83-98;
        anawakhubiria watu wake, 6:80-83;
        anawaombea watu wa Lut'i, 11:74-76;
        asalimika na moto, 21:69;
        atimiza amri za Mwenyezi Mungu, 2:124;
        Dini ya, 2:130, 2:135;
        Dua' yake, 14:34-41; 26:83-87;
        juu ya uhai kwa walio kufa, 2:260;
        Kitabu chake, 53:37; 87:19;
        Malaika wanambashiria mwana, 11:69-73; 15:51-56; 51:24-30,
        Mfano mwema, 16:120-123;
        mwendo wake kua'miliana na makafiri, 60:4-6;
        na Kaa'ba, 2:125-127; 3:96, 3:97;
        si Yahudi wala Mkristo, 3:67;
        wala si Mshirikina, 3:95;
  • Idris a.s., 19:56-57; 21:85
  • Ijumaa, Sala ya, 62:9-11;
  • Ilimu Yaqini, 69:51; 102:5-7;

  •     ya mambo matano anayo Mwenyezi Mungu tu, 31:34;
  • Imani, ikafuatwa na kutokuamini, 16:106-109;

  •     ishara za, 2:165, 2:285;
        na kutoa, 57:7-11;
        na vitendo vyema, 5:69;
        sifa zake saba, 23:1-11;
        wauzaji wa, 3:77, 3:177;
        wenye kuikataa, 2:6-7, 2:165-167; 3:4, 3:10, 3:12, 3:21-22, 3:90-91, 3:116, 3:181-184; 4:136-137, 4:167-168;
        fidia haikubaliwi, 5:36-37;
        mwendo wao na ibada zao hazitakiwi, 109:1-6;
        nyoyo zao zimeelekea udanganyifu, 6:113;
        wanafuata nyendo za wazee, 5:104;
        wanataka Malaika wateremke, 6:8-9;
        wanazisemea uwongo roho zao wenyewe, 6:24;
        wataangamizwa, 6:6;
        watadahadari, 6:110;
        wataiona Kweli Akhera, 6:28-30;
        wataonja matokeo maovu ya vitendo vyao, 64:5-6;
        yatiwa imara penye khatari na misiba, 3:173;
  • Injili, 3:3, 3:48, 3:65; 5:46-47, 5:66, 5:68, 5:110, 7:157; 9:111; 48:29; 57:27;
  • Iram, 89:7;
  • Is-haq, 6:84; 21:72; 37:112-113;
  • Ishara za Mwenyezi Mungu, hapana Ishara maalumu ya kutolewa, 6:109; 10:20; 13:7; 17:59; 21:506;

  •     hukanywa au hufanyiwa maskhara, 45:8-9;
        iliyo wazi kabisa, ni Qur'ani, 29:49-51;
        Ishara ya ufalme wa T'aluti, 2:248;
        katika maisha haya, 39:59;
        katika pande za mbali kabisa, na katika nafsi zao, 41:53;
        katika uumbaji wa mbingu na ardhi, 2:164; 3:190;
       katika uumbaji wote, 10:5-6; 30:20-27; 45:3-6;
        kuumbwa mtu kutokana na mbegu ya uzazi, 56:57-59;
        kuzikataa Ishara, 3:11, 3:108;
        majahili wazidai, kwa Waumini ni dhaahiri, 2:118;
        maji, 56:68-70;
    malipo ya ukanushi, 7:36-41, 7:146-147;
        marikebu, 31:31;
        mauti, 56:68-70;
        mbegu katika ardhi, 56:63-67;
        mchana na usiku ni Ishara, 17:12;
        moto, 56:71-73; ngamia, mbingu, milima, ardhi, 88:17-20;
        pepo na marikebu, 30:46; 42:32-35;
        Safina ya Nuh'u na Gharika, na marikebu kama hiyo, 36:41-44;
        usiku, jua na mwezi, 36:37-40;
        wakanushao hutafuta kila udhuru, 6:156-158;
        wakanushi wakosa uwongofu, 6:186;
        wakanushi wanazidhuru roho zao, 7:177;
        wakanushi wapata muhula, 7:182;
        wanao kataa, vipofu na viziwi, wamo kizani, 6:39;
        waovu ndio hudai Ishara makhsusi, 6:124;
        zakejeliwa, 68:15;
        zawekwa wazi ili watu wazingatie, 2:219-220;
        zimo katika vitu vyote, 6:95-99;
  • Ismai'l, 2:125-129; 6:86; 19:54-55; 21:85;
  • Israili, Wana wa, 2:40-86;

  •     ahadi zao, 2:83, 2:86, 2:93, 2:100; 5:12-13;
        inda yao, 2:54-59, 2:61, 2:63-67; 5:71; 7:138-141;
        makhusiano yao na Waislamu, 2:75-79;
        ujeuri wao, 2:80, 2:88, 2:91;
        wafadhiliwa, 2:47-53; 2:60, 2:122; 45:16-17;
        wakombolewa, 20:80-82;
        wamefariqiana na waasi, 7:161-171;
        wanaomba wapewe mfalme, 2:246-251;
        wanazuoni wao waujua Ukweli, 26:197;
        waonywa mara mbili, 17:4-8;
         wapendavyo maisha ya dunia, 2:96;
        wapewa Kitabu na Maimamu, 32:23-25; 40:53-54
    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

    Ukitaka kusoma Sura nyengine Rejea uliko toka

    Ukiwa una shauri au maelezo juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com

    Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani